Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Kama ilivyokuwa kawaida yake, mufalme aliikaa kwenye kiti chake kilichokuwa karibu na ukuta. Yonatani akaikaa mbele kuelekea mufalme na Abeneri akaikaa karibu na mufalme. Lakini nafasi ya Daudi ikakuwa wazi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:25
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Delila akamwambia Samusoni: “Samusoni! Wafilistini wanakuja kukushambulia!” Samusoni akaamuka toka katika usingizi naye akifikiri kwamba atatoka na kujiokoa kama vile mbele. Kumbe hakujua kwamba Yawe alikuwa amemwacha.


Kisha akamwambia Daudi: “Kwa sababu kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, watu wataona wazi kwamba hauko, maana kiti chako kitakuwa wazi.


Basi, Daudi akajificha katika shamba. Wakati wa sikukuu ya mwandamo wa mwezi, mufalme Saulo akaikaa kwenye meza kwa kula.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ