1 Samweli 20:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Kama ilivyokuwa kawaida yake, mufalme aliikaa kwenye kiti chake kilichokuwa karibu na ukuta. Yonatani akaikaa mbele kuelekea mufalme na Abeneri akaikaa karibu na mufalme. Lakini nafasi ya Daudi ikakuwa wazi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |