Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Basi, Daudi akajificha katika shamba. Wakati wa sikukuu ya mwandamo wa mwezi, mufalme Saulo akaikaa kwenye meza kwa kula.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:24
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Afazali kula mboga za majani kwa upendo, kuliko karamu ya nyama nono pamoja na chuki.


Afazali kula mukate wenye kukauka kwa amani kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.


Sadaka ya mwovu ni kitu cha kuchukiza sana. Inachukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.


Kutenda mambo ya haki na kufuata sheria ya Mungu kunamupendeza Yawe kuliko sadaka.


Maana uovu ndicho chakula chao, mateso makali ndiyo divai yao.


Munapokula na kunywa, si munakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?


Na kulipokucha asubui mapema, wakamutosha Yesu kwa Kayafa na kumupeleka kwenye nyumba ya liwali. Lakini Wayuda wenyewe hawakuingia ndani ya nyumba ya liwali, kwa maana kwa njia ile wangejichafua na kutoweza kuwa tayari kula karamu ya Pasaka.


Kulingana na ahadi tulizowekeana, Yawe atakuwa mushuhuda kati yetu milele.”


Kama ilivyokuwa kawaida yake, mufalme aliikaa kwenye kiti chake kilichokuwa karibu na ukuta. Yonatani akaikaa mbele kuelekea mufalme na Abeneri akaikaa karibu na mufalme. Lakini nafasi ya Daudi ikakuwa wazi.


Daudi akamwambia: “Kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, nami nilipaswa kuwa kwenye meza kwa kula pamoja na mufalme. Lakini uniache, niende kujificha kule katika shamba mpaka siku ya tatu magaribi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ