Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Nitamutuma mutumishi wangu aende kuitafuta mishale hiyo. Kama nikimwambia: ‘Angalia, mishale hiyo iko upande ule wako, uikamate’, hiyo itakuwa na maana kwamba uko salama, nawe utajitokeza kutoka pahali ulipojificha, maana, kama vile Yawe anavyoishi, kuna amani kwako, na hakuna hatari.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:21
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na kama watajifunza mwenendo wa watu wangu kwa moyo wote, wakiapa kwa jina langu, wakisema “Kama vile Yawe anavyoishi”, kama vile walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa jina la mungu Bali, basi watastawi katikati ya watu wangu.


ukiapa kwa ukweli, kwa kufuatana na sheria, na kwa haki, kwa kusema “Kama vile Yawe anavyoishi”, halafu mataifa yatapata baraka kutoka kwangu, na kutukuzwa kwa sababu yangu.


Ingawa watu wake wanaapa kwa nafsi ya Yawe, viapo vyao ni vya uongo.


Wale wanaoapa kwa mungu wa uongo wa Samaria na kusema “Kwa nafsi ya mungu wako ee Dani” au “Kwa nafsi ya mungu wa Beri-Seba”, wote wataanguka na hawatasimama tena hata kidogo.


Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kama vile ninapima shabaha fulani.


Lakini nikimwambia ‘Angalia, mishale iko mbele yako’, kwa hiyo, ondoka. Yawe atakuwa anataka uende mbali.


Alipofika kule alimwambia yule kijana wake: “Kimbia uitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia Yonatani akapiga mushale mbele yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ