Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kwa mara ingine tena, Yonatani alimwambia Daudi aape kulingana na upendo wake kwake yeye Yonatani, maana alimupenda Daudi kama vile anavyojipenda yeye mwenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:17
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninasikitika kwa ajili yako, ndugu yangu Yonatani. Umekuwa kwangu mutu wa kupendeza siku zote. Pendo lako kwangu limekuwa la ajabu, la ajabu kuliko la mwanamuke.


Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote. Ndugu anazaliwa kusudi asaidie wakati wa taabu.


Warafiki wengi wanaweza kumwangusha mutu, lakini kuna rafiki mwaminifu kuliko ndugu.


Gedalia aliapa mbele yao na mbele ya waaskari wao akisema: Musiogope kuwatumikia Wakaldea. Mukae katika inchi mumutumikie mufalme wa Babeli, na mambo yote yatawaendekea vema.


Lakini nabii huyo au mutabiri wa kutumia ndoto atauawa, kwa sababu atakuwa amewafundisha uasi mbele ya Yawe, Mungu wenu, aliyewatoa katika inchi ya Misri na kuwakomboa kutoka katika utumwa, kusudi muache njia ambayo Yawe, Mungu wenu, aliwaamuru kufuata. Hivi ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


Saulo alipomaliza kuzungumuza na Daudi, Yonatani mwana wa Saulo alivutwa sana na Daudi, akamupenda kwa moyo wake wote kama alivyojipenda yeye mwenyewe.


Kwa sababu Yonatani alimupenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ