Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Pinde za wenye nguvu, zimevunjika. Lakini wazaifu wanaendelea kupata nguvu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 2:4
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Niliwaangamiza, wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.


Lakini panga zao wenyewe zitawapenya mioyo, na pinde zao zitavunjwavunjwa.


Maana nguvu za waovu zitavunjwa, lakini Yawe atawaimarisha watu wa haki.


Anakomesha vita popote katika dunia. Anavunjavunja pinde na mikuki, nayo magari ya vita anayateketeza.


Mukuje muone matendo ya Yawe. Muone maajabu aliyofanya katika dunia.


Makao yake ni kule Salemu; nyumba yake ni kule Sayuni.


Hakuna! Mutajikunja tu kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa katika vita. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Yeye anawapatia nguvu wanaokuwa zaifu, anawaongezea nguvu wale wanaoregea.


Hata kama mukiwashinda waaskari wote wa Wakaldea wanaopigana nanyi na kunabaki tu katika mahema yao wale walioumizwa, hao watasimama na kuuteketeza muji huu kwa moto.


Kweli, mwangamizaji anashambulia Babeli; waaskari wake wametekwa, pinde zao zimevunjwavunjwa. Mimi Yawe ni Mungu mwenye kuazibu, hakika mimi nitalipiza kisasi kamili.


Lakini akanijibu: “Neema yangu inakutoshelea, kwa maana uwezo wangu unatimizwa katika uzaifu.” Basi tafazali nijivunie sana uzaifu wangu kusudi nijazwe na uwezo wa Kristo.


Basi, mujiweke tayari: mukijifungia ukweli kama vile mukaba, mukivaa haki kama vile nguo ya chuma ya kukingia kifua,


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Basi niseme nini tena? Maana wakati hauniruhusu kueleza habari juu ya Gideoni, Baraka, Samsoni, Yefuta, Daudi, Samweli na manabii.


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ