1 Samweli 2:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Mutu akimukosea mwenzake, anaweza kuombewa kwa Mungu, kusudi Mungu amusamehe. Lakini mutu akimukosea Yawe nani anayeweza kumwombea musamaha?” Lakini watoto hao hawakumusikiliza baba yao, maana Yawe alikwisha kata shauri la kuwaua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |