Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Halafu Hana aliomba na kusema: Ninamushangilia Yawe ndani ya moyo wangu. Ninamutukuza Yawe anayekuwa nguvu yangu. Ninawachekelea waadui zangu; maana ninaufurahia wokovu wako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 2:1
37 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yosafati akawaongoza waaskari wake mpaka Yerusalema kwa shangwe, kwa sababu Yawe aliwashinda waadui zao.


na Matania mwana wa Mika mwana wa Zabudi, wa uzao wa Asafu, aliyekuwa kiongozi wakati wa kuomba maombi ya shukrani. Bakubukia alikuwa musaidizi wake. Pamoja nao kulikuwa Abuda mwana wa Samua mwana wa Galali wa uzao wa Yedutuni.


Nimejishonea nguo za gunia; utukufu wangu nikautupa katika mavumbi.


Yawe ni nguvu yangu kubwa; yeye mwenyewe ndiye wokovu wangu.


Usiwaache waadui zangu waseme: “Tumemushinda huyu!” Watesaji wangu wasifurahie kuanguka kwangu.


Amewapa watu wake nguvu; nayo heshima kwa watu wote waaminifu, ndio watu wa Israeli wapendwa wake. Haleluia!


Akujalie unayotamani ndani ya moyo wako, afanikishe mipango yako yote.


Ee Yawe, mufalme anashangilia kwa nguvu yako, anafurahi sana kwa musaada uliomupa.


Hivi nitamufurahia Yawe; nitashangilia kwa sababu yeye ameniokoa.


Halafu nitawafundisha wakosaji njia zako, nao wenye zambi watarudi kwako.


Kinywa changu kimejaa sifa zako, na utukufu wako muchana kutwa.


Lakini mimi nitafurahi milele, nitamwimbia Mungu wa Yakobo sifa.


Wanafurahi muchana kutwa kwa sababu yako, na kukusifu kwa ajili ya haki yako.


Wewe ndiwe utukufu na nguvu yao; kwa upendo wako tunapata ushindi.


Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomuchukia.


Ee Yawe, wewe unayeniopoa kutoka nguvu za kifo, uangalie mateso wale wanaonichukia wanayoniletea na kunirehemu


Hao waadui zako, ee Yawe, hao waadui zako, hakika wataangamia; wote wanaotenda maovu, watatawanyika!


Kisha, Musa pamoja na Waisraeli wakamwimbia Yawe wimbo huu: “Nitamwimbia Yawe, maana ameshinda kwa utukufu; farasi na mupanda-farasi wake amewatupa katika bahari.


Miriamu akawaongoza kwa kuimba: “Mumwimbie Yawe maana ameshinda kwa utukufu. Farasi na mupanda-farasi wake amewatupa ndani ya bahari.”


mimi nitaendelea kumufurahia Yawe. Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.


Ametuletea Mwokozi mwenye uwezo, toka ukoo wa mutumishi wake Daudi.


Wala si ile tu, lakini tunafurahi kwa ajili ya Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo aliyetupatanisha sasa na Mungu.


Utukufu wake ni utukufu wa ngombe dume wa kwanza, pembe zake ni za mbogo dume. Atazitumia kusukuma mataifa; yote atayasukuma mpaka miisho ya dunia. Efuraimu atakuwa na pembe hizo elfu kumi na Manase kwa maelfu.”


Sisi ndio wenye kutahiriwa kwa kweli, maana tunamwabudu Mungu kwa uongozi wa Roho wake na kujivuna kwa ajili ya Yesu Kristo. Sisi hatuweki tumaini letu katika mambo ya kimwili.


Mufurahi siku zote katika kuungana kwenu na Bwana. Na tena ninasema: Mufurahi!


Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.


Ninyi munamupenda ijapokuwa hamujamwona, na munamwamini ijapokuwa sasa hamumwoni. Na zaidi ya ile munashangilia kwa furaha isiyoweza kuelezwa, inayojaa utukufu,


Enyi mbingu, nanyi watu wa Mungu pamoja na mitume na manabii wake, mufurahi kwa ajili ya mambo yaliyotokea muji ule, kwa maana Mungu amewapatia haki yenu kwa kuuhukumu!


Penina alikuwa akimuchokoza sana Hana kusudi amukasirikishe kwa sababu Yawe hakumujalia Hana watoto.


Mambo hayo yaliendelea kila mwaka. Kila mara Hana alipokwenda kwenye nyumba ya Yawe, Penina alimukasirikisha Hana hata Hana akalia na kukataa kula chochote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ