Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 19:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Saulo alipopata habari zile, alituma watumishi wengine, nao vilevile wakaanza kutabiri. Saulo akatuma watumishi wengine kwa mara ya tatu, nao vilevile wakaanza kutabiri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 19:21
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata kama ukitwanga mupumbafu katika kinu, sawa na ngano, hautaweza kumutenganisha na upumbafu wake.


Mwetiopia anaweza kubadilisha rangi yake, au chui madoadoa yake? Nanyi muliozoea kufanya mabaya, munaweza namna gani kutenda mema?


Kwa hiyo Saulo akatuma watu kwenda kumukamata. Lakini walipokuta kundi la manabii likitabiri na Samweli akiliongoza, Roho wa Mungu aliwafikia wale watumishi wa Saulo, nao vilevile wakaanza kutabiri.


Kwa hiyo yeye mwenyewe akaenda Rama. Alipofika kwenye kisima kikubwa kinachokuwa kule Seku, akamukuta mutu fulani ambaye alimwuliza: “Samweli na Daudi wako wapi?” Yule mutu akamujibu: “Wako Nayoti, katika muji wa Rama.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ