Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 19:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kwa hiyo Saulo akatuma watu kwenda kumukamata. Lakini walipokuta kundi la manabii likitabiri na Samweli akiliongoza, Roho wa Mungu aliwafikia wale watumishi wa Saulo, nao vilevile wakaanza kutabiri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 19:20
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akainua macho, akawaona Waisraeli wamepiga kambi kila kabila pahali pake. Kisha Roho ya Mungu ikamufikia,


Wafarisayo wakasikia maneno hayo watu waliyosemasema juu ya Yesu. Basi wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakatuma walinzi wao kumufunga.


Lakini yule anayetabiri anasema na watu maneno ya kuwajenga katika imani, kuwatia moyo na kuwatuliza.


Saulo na mutumishi wake walipofika kule Gibea, alipokelewa na kundi la manabii. Roho wa Mungu alimufikia kwa nguvu, na Saulo akaanza kutabiri pamoja na manabii hao.


Usiku ule, Saulo akatuma watu kwenye nyumba ya Daudi wamwangalie kama yuko kusudi apate kumwua asubui. Lakini Mikali muke wa Daudi akamwambia Daudi: “Kama hauopoi maisha yako usiku huu, kesho utauawa.”


Saulo alipotuma watu kwa kumukamata Daudi, Mikali akawaambia kwamba Daudi ni mugonjwa.


Kisha Saulo aliambiwa kwamba Daudi yuko kule Nayoti katika muji wa Rama.


Saulo alipopata habari zile, alituma watumishi wengine, nao vilevile wakaanza kutabiri. Saulo akatuma watumishi wengine kwa mara ya tatu, nao vilevile wakaanza kutabiri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ