1 Samweli 18:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Saulo hakupendezwa na maneno ya wimbo huo. Akakasirika sana. Akasema: “Wamemupa Daudi elfu makumi, lakini mimi wamenipa maelfu tu. Linalobakia ni kumupa Daudi ufalme.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |