1 Samweli 18:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Kwa sababu Yonatani alimupenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kwa nini ninyi wote mumenifanyia shauri baya? Hakuna hata mumoja wenu anayeniambia habari hii, wakati mwana wangu anapofanya mapatano na mutoto wa Yese. Tena, kwa nini hakuna hata mumoja kati yenu anayesikitika au kunielezea kwamba mwana wangu mwenyewe anamuchochea mutumishi wangu juu yangu akinivizia kama inavyokuwa leo hii?”