1 Samweli 18:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Daudi na watu wake walikwenda, wakawaua Wafilistini mia mbili na kuyatwaa magovi yao mpaka kwa mufalme Saulo. Hapo akamuhesabilia hesabu kamili kusudi mufalme akuwe baba mukwe wa Daudi. Hivyo, Saulo akamupatia Daudi binti yake Mikali akuwe muke wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |