1 Samweli 18:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Saulo akawaambia: “Mumwambie Daudi hivi: ‘Kile ambacho mufalme anataka kama vile mali kwa binti yake ni magovi mia moja ya Wafilistini, kusudi ajilipize kisasi kwa waadui zake.’ ” Hivi ndivyo Saulo alivyopanga kusudi Daudi auawe na Wafilistini. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |