1 Samweli 18:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Saulo alifikiri: “Ngoja nitamutoa Mikali kusudi akuwe mutego kwake. Na bila shaka Wafilistini watamwua.” Hivyo Saulo akamwambia Daudi kwa mara ya pili: “Sasa nitakuwa baba mukwe wako.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |