Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 18:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Saulo alifikiri: “Ngoja nitamutoa Mikali kusudi akuwe mutego kwake. Na bila shaka Wafilistini watamwua.” Hivyo Saulo akamwambia Daudi kwa mara ya pili: “Sasa nitakuwa baba mukwe wako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 18:21
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Warafiki na wenzangu wanaepuka kuona mateso yangu, na wandugu zangu wanakaa mbali nami.


Viongozi wa mufalme wakamwuliza: “Mutu huyu atatusumbua mpaka wakati gani? Uwaache watu hawa wajiendee wamutumikie Yawe, Mungu wao. Haujali kwamba inchi ya Misri inaangamia?”


Mwenye kumubembeleza jirani yake, anatega mutego wa kujinasa mwenyewe.


Hakika, kati ya watu wangu kuna waovu, watu ambao wananyanganya mali za wengine. Wako kama wawindaji wa ndege: wanatega mitego yao na kuwanasa watu.


Nisiwaazibu kwa sababu ya mambo haya? –Ni ujumbe wa Yawe.– Nisililipize kisasi taifa kama hili?


Saulo akamwambia Daudi: “Huyu ni Merabu, binti yangu mukubwa, nitamutoa kwako kusudi umwoe kwa masharti mawili: Ukuwe askari wangu shujaa na mutiifu, upigane vita ya Yawe.” Saulo alizani kwa njia hiyo Wafilistini watamwua Daudi, kusudi kitendo hicho asikifanye yeye mwenyewe.


Halafu Saulo aliwaamuru watumishi wake akisema: “Museme na Daudi kwa siri na kumwambia: ‘Mufalme anapendezwa sana nawe, hata watumishi wake vilevile wote wanakupenda’. Hivyo, sasa ukubali kuwa mukwe wa mufalme.”


Wale watumishi walipomwelezea Daudi yale mapenzi ya Saulo, Daudi alifurahi kwamba mufalme atakuwa baba mukwe wake. Mbele ya siku ya arusi,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ