2 Tangu siku ile, Saulo akamutwaa Daudi katika nyumba yake, hakumuruhusu kurudi kwenye nyumba ya baba yake.
Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Saulo, alirudi kwenda Betelehemu kuchunga kondoo wa baba yake.
Hivyo, Yonatani akamwita Daudi na kumwelezea mambo hayo yote. Yonatani akamupeleka Daudi kwa Saulo, na Daudi akamutumikia Saulo kama hapo zamani.