Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 18:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Lakini, wakati ule ambapo Merabu binti ya Saulo angeoeshwa kwa Daudi, alioeshwa kwa Adrieli kutoka muji wa Mehola.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 18:19
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mufalme aliwatwaa wana wawili ambao Risipa binti ya Ahiya alimuzalia Saulo, nao ni: Armoni na Mefiboseti. Aliwatwaa vilevile watoto wote watano wanaume wa Mikali binti ya Saulo ambao alimuzalia Adrieli mwana wa Barzilayi wa muji Mehola.


Naye Yehu mwana wa Nimusi, umupakae mafuta akuwe mufalme wa Israeli. Elisha mwana wa Safati wa Abeli-Mehola, utamupakaa mafuta akuwe nabii kwa pahali pako.


Basi, wakamwoesha mwanamuke wake kwa kijana mumoja ambaye alikuwa rafiki ya Samusoni katika arusi.


Watu wa Gideoni walipopiga baragumu zao mia tatu, Yawe akawafanya Wamidiani waanze kuuana wao kwa wao katika kambi. Waliobaki wakatoroka mpaka Zerera, wakafika Beti-Sita, hata kwenye mupaka wa Abeli-Mehola karibu na Tabati.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ