1 Samweli 18:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Saulo alipomaliza kuzungumuza na Daudi, Yonatani mwana wa Saulo alivutwa sana na Daudi, akamupenda kwa moyo wake wote kama alivyojipenda yeye mwenyewe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini watu wakamwambia Saulo: “Kwa nini Yonatani, aliyeletea Waisraeli ushindi huu mukubwa, auawe? Haiwezikani hata kidogo. Kama vile Yawe anavyoishi, hata unywele mumoja wa kichwa chake hautaanguka chini. Alichokifanya leo, amekifanya kwa musaada wa Yawe.” Kwa hiyo, watu walimukomboa Yonatani naye hakuuawa.
Kwa nini ninyi wote mumenifanyia shauri baya? Hakuna hata mumoja wenu anayeniambia habari hii, wakati mwana wangu anapofanya mapatano na mutoto wa Yese. Tena, kwa nini hakuna hata mumoja kati yenu anayesikitika au kunielezea kwamba mwana wangu mwenyewe anamuchochea mutumishi wangu juu yangu akinivizia kama inavyokuwa leo hii?”