9 Akinishinda na kuniua, sisi tutakuwa watumwa wenu. Lakini nikimushinda na kumwua basi, ninyi mutakuwa watumwa wetu na kututumikia.”
Abeneri mwana wa Neri, pamoja na watumishi wa Isiboseti mwana wa Saulo, waliondoka Mahanaimu na kwenda Gibeoni.
Mufalme Nahasi wa Waamoni, alikwenda na kuushambulia muji wa Yabesi-Gileadi. Wakaaji wa muji wa Yabesi-Gileadi wakamwambia Nahasi: “Fanya mapatano nasi, nasi tutakutumikia.”
Kisha Mufilistini yule aliendelea kusema kwa majivuno: “Ninawataka waaskari wa Waisraeli siku hii kumutoa mutu mumoja akuje kupigana nami.”