Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Goliati alisimama na kuwapigia kelele waaskari wa Waisraeli, akisema: “Munafanya nini pale? Mumekuja kupigana vita? Mimi ni Mufilistini; ninyi ni watumwa wa Saulo. Muchague mutu mumoja kati yenu akuje kupigana nami.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:8
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uria alimujibu Daudi: “Sanduku la Agano, pamoja na waaskari wote wa Israeli na Yuda wanakaa kwenye vibanda katika vita. Bwana wangu Yoabu na watumishi wake wote wamepiga kambi katika mbuga. Basi ni vizuri mimi niende nikule na kunywa na kulala na muke wangu? Ninaapa kwamba, kama vile unavyoishi, sitafanya kitu cha namna ile.”


Lakini Yoabu akasema: “Yawe aongeze Waisraeli mara mia kuliko jinsi wanavyokuwa sasa! Bwana wangu mufalme, hawa wote si watumishi wako? Kwa nini basi unataka kufanya jambo ambalo litawatia Waisraeli katika kosa?”


Alipokuwa anaongea nao, Goliati, yule shujaa wa Wafilistini kutoka Gati, alijitokeza mbele ya waaskari wa Israeli kama vile alivyozoea. Naye Daudi alimusikiliza vizuri sana.


Daudi akawauliza wale waliokuwa karibu naye: “Mutu atakayemwua Mufilistini huyu na kuikomboa Israeli kutokana na haya hii atafanyiwa nini? Ni nani huyu Mufilistini, mutu mupagani, anayesubutu kuwatukana waaskari wa Mungu Mwenye Uzima?”


Atatwaa sehemu ya kumi ya kondoo wenu. Na ninyi wenyewe mutakuwa watumwa wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ