1 Samweli 17:57 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200257 Mara tu Daudi aliporudi katika kambi nyuma ya kumwua Goliati, Abeneri alimukamata na kumupeleka kwa Saulo. Wakati ule Daudi alikuwa angali akibeba kichwa cha Goliati katika mikono yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |