Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:54 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

54 Daudi alikitwaa kichwa cha yule Goliati Mufilistini, akakipeleka katika muji wa Yerusalema. Lakini silaha za Goliati akaziweka katika hema yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:54
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musa akamwambia Haruni: “Twaa kopo, utie ndani yake kipimo kimoja cha litre ine ya mana na kuiweka mbele ya Yawe, ikuwe kwa ajili ya wazao wenu.”


Waisraeli walipotoka kuwafuatilia Wafilistini, waliteka vitu ndani ya kambi yao.


Saulo alipomwona Daudi akienda kupigana na yule Mufilistini Goliati, alimwuliza Abeneri, jemadari wa kundi lake: “Abeneri, huyu ni kijana wa nani?” Abeneri alijibu: “Ee Mufalme, ninaapa kwa jina lako, mimi sijui.”


Mara tu Daudi aliporudi katika kambi nyuma ya kumwua Goliati, Abeneri alimukamata na kumupeleka kwa Saulo. Wakati ule Daudi alikuwa angali akibeba kichwa cha Goliati katika mikono yake.


Basi, Daudi akamwambia Ahimeleki: “Una upanga au mukuki ambao unaweza kunipatia? Kwa maana shuguli za mufalme zilinilazimisha niondoke haraka, nami niliondoka bila upanga wangu wala silaha nyingine yoyote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ