Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:53 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

53 Waisraeli walipotoka kuwafuatilia Wafilistini, waliteka vitu ndani ya kambi yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:53
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Eleazari alisimama imara na kupigana na Wafilistini mpaka mukono wake uliposhindwa kupindika, ukabaki umebania upanga wake. Siku hiyo, Yawe alijipatia ushindi mukubwa. Nyuma ya ushindi ule, Waisraeli walirudi pahali Eleazari alipokuwa na kuteka vitu kutoka kwa Wafilistini waliouawa.


Lakini wote wanaokuangamiza, wataangamizwa vilevile, na waadui zako wote watapelekwa katika uhamisho; nao wanaokukamata mateka watakamatwa mateka, nao wanaokuwinda, nitawawinda.


Wanatangaza hasara zisizokoma; inchi yote imeharibiwa. Kwa rafla mahema yetu yameharibiwa, mapazia yao yamepasuka kwa dakika moja.


Halafu watu wa Israeli na watu wa Yuda walianza kupiga kelele za ushindi, wakawafuatilia Wafilistini mpaka Gati, kwenye milango ya muji wa Ekroni, hata Wafilistini walioumizwa katika vita walikufa katika njia tangu Saraimu mpaka Gati na Ekroni.


Daudi alikitwaa kichwa cha yule Goliati Mufilistini, akakipeleka katika muji wa Yerusalema. Lakini silaha za Goliati akaziweka katika hema yake.


Alipomwua yule Mufilistini Goliati, alihatarisha maisha yake, naye Yawe aliwapa Waisraeli ushindi mukubwa. Wewe ulipoona jambo lile ulifurahi. Kwa nini unataka kutenda zambi kwa kumwanga damu isiyokuwa na kosa kwa kumwua Daudi bila sababu?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ