Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Akatia mukono wake ndani ya mufuko wake, akatoa jiwe moja, akalirusha kwa mujeledi wake, akamupiga nalo Goliati kwenye paji la uso wake, jiwe likalipasua paji la Goliati na kupenya ndani. Goliati akaanguka uso mpaka chini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:49
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini, askari mumoja wa Aramu akauvuta upinde wake kwa kubahatisha, akamupiga mushale mufalme wa Israeli katika maunganio ya nguo zake za chuma za kukinga kifua. Hapo Ahabu akamwambia kiongozi wa gari lake la vita: “Geuza gari uniondoe katika vita. Nimeumizwa!”


Yehu akatwaa upinde wake na kutupa mushale ambao ulipenya mabega ya Yoramu na kuchoma moyo wake, naye akakufa palepale ndani ya gari lake.


Goliati akaanza tena kumwendea Daudi. Daudi akakimbia mbio kwenda kwenye mustari wa mapambano.


Ndivyo Daudi alivyomushinda Goliati kwa mujeledi wake na jiwe. Alimupiga yule Mufilistini na kumwua. Daudi hakukuwa na upanga wowote katika mukono wake.


Alipomwua yule Mufilistini Goliati, alihatarisha maisha yake, naye Yawe aliwapa Waisraeli ushindi mukubwa. Wewe ulipoona jambo lile ulifurahi. Kwa nini unataka kutenda zambi kwa kumwanga damu isiyokuwa na kosa kwa kumwua Daudi bila sababu?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ