Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Saulo akamuvalisha Daudi nguo zake za kivita, akamuvalisha kofia yake ya shaba juu ya kichwa na koti lake la kifua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:38
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutandike farasi na kupanda juu yao. Mushike nafasi zenu, na muvae kofia za chuma. Munoe mikuki yenu, muvae nguo zenu za chuma.


Yawe ambaye ameniokoa toka katika makucha ya simba na dubu, ataniokoa kutoka kwa Mufilistini huyu.” Saulo akamwambia: “Kwenda, naye Yawe akuwe pamoja nawe.”


Daudi akajifunga upanga wa Saulo, akajaribu kutembea; lakini akashindwa kwa sababu hakuzoea nguo kama hizo. Akamwambia Saulo: “Siwezi kwenda katika vita nikiwa nimevaa nguo hizi, maana mimi sijazizoea.” Kwa hiyo, akazivua.


Alivua nguo aliyovaa na kumupa Daudi pamoja na silaha zake, hata upanga, upinde na mukaba wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ