Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 mimi ninamufuata na kumushambulia, nikimwokoa mwana-kondoo toka katika kinywa chake. Kama simba au dubu akinishambulia, mimi ninamushika ndevu zake, nikimwangusha na kumwua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:35
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye Benaya mwana wa Yehoyada wa muji Kabuseli, alikuwa askari shujaa ambaye alifanya mambo mengi ya ajabu. Aliwaua mashujaa wawili kutoka Moabu, na siku moja wakati wa teluji, alishuka katika shimo na kuua simba.


Utakanyaga simba na nyoka wa hatari, utawaponda simba wakali na nyoka.


Danieli akamujibu mufalme: Uishi milele, ee mufalme!


Yawe, anasema hivi: Kama vile muchungaji anavyonyanganya toka katika kinywa cha simba miguu miwili tu au kipande cha sikio la kondoo, ndivyo watu wachache tu wa Israeli wanaoishi Samaria, ambao sasa wanalalia vitanda vizuri na matandiko ya hariri watakavyobaki.


Daudi akasema: “Mimi mutumishi wako nimezoea kuchunga kondoo wa baba yangu. Kila wakati simba au dubu akikuja na kukamata mwana-kondoo


Mimi mutumishi wako nimekwisha kuua simba wengi na dubu wengi. Sasa, hata yule Mufilistini mupagani, ambaye amewatukana waaskari wa Mungu Mwenye Uzima, atakuwa kama wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ