Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Daudi akamujibu: “Sasa nimefanya nini? Siwezi kuuliza neno tu?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:29
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Mutu anayekuwa na Roho wa Mungu anahukumu mambo yote, lakini hakuna mutu anayeweza kumuhukumu.


Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


Lakini Eliabu, kaka mukubwa wa Daudi alipomusikia Daudi akiongea na watu, alimukasirikia Daudi, akasema: “Kwa nini umekuja? Wale kondoo wachache umemwachia nani kule katika mbuga? Ninajua majivuno yako na uovu wa moyo wako. Umekuja tu kutazama vita.”


Daudi akamugeukia mutu mwingine, akamwuliza neno lilelile; na kila mara alipouliza, alipata jibu lilelile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ