1 Samweli 17:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Lakini Eliabu, kaka mukubwa wa Daudi alipomusikia Daudi akiongea na watu, alimukasirikia Daudi, akasema: “Kwa nini umekuja? Wale kondoo wachache umemwachia nani kule katika mbuga? Ninajua majivuno yako na uovu wa moyo wako. Umekuja tu kutazama vita.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |