Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Saulo pamoja na Waisraeli walikusanyika, na kupiga kambi katika bonde la Ela. Wakajipanga tayari kwa kupigana na Wafilistini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:2
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, mufalme Saulo, kaka za Daudi na waaskari wote wa Israeli walikuwa kwenye bonde la Ela, wanapigana na Wafilistini.


Wafilistini walisimama kwenye mulima upande mumoja na Waisraeli walisimama kwenye mulima upande mwingine. Katikati yao kulikuwa bonde.


Ahimeleki akamujibu: “Upanga wa Goliati Mufilistini uliyemwua kwenye bonde la Ela uko nyuma ya efodi, unafungwa katika kitambaa. Ikiwa unataka kuukamata basi, uukamate maana hakuna upanga mwingine hapa.” Daudi akamwambia: “Hakuna upanga mwingine kama huo; unipe.”


Basi, Daudi akamwambia Ahimeleki: “Una upanga au mukuki ambao unaweza kunipatia? Kwa maana shuguli za mufalme zilinilazimisha niondoke haraka, nami niliondoka bila upanga wangu wala silaha nyingine yoyote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ