Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Na yule mukubwa wa kundi la waaskari elfu moja umupelekee siagi hizi kumi. Uwaangalie kaka zako kama wanaendelea vizuri na kisha uniletee habari zao.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:18
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Israeli akamwambia Yosefu: “Unajua wandugu zako wanachunga nyama kule Sekemu. Kwa hiyo ninataka kukutuma kwao.” Yosefu akajibu: “Niko tayari.”


Baba yake akamwambia: “Kwenda uwaangalie wandugu zako na nyama kama wako salama, kisha uniletee habari.” Basi, Yakobo akamutuma Yosefu kutoka bonde la Hebroni. Yosefu alipokaribia Sekemu,


Kila siku Mordekayi alipitapita mbele ya kiwanja cha nyumba hiyo ya wanawake kusudi apate kujua hali ya Esteri na mambo ambayo yangemupata.


Si wewe uliyenimimia kama maziwa, na kunigandisha kama siagi?


akatoka kwenda kumupokea baba mukwe wake, akiinama mbele yake na kumubusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia ndani ya hema.


Nyuma ya siku chache, Paulo akamwambia Barnaba: “Turudi sasa kwa kuwaangalia wandugu waamini katika miji ambamo tulihubiri neno la Bwana, kusudi tuone kama wako katika hali gani.”


Basi wale wapelelezi wakaelekea kwenye nyumba ya Mika, wakaingia ndani na kumwuliza habari za yule kijana Mulawi.


Yese alimutuma Daudi kwa Saulo pamoja na punda aliyebeba mikate, mufuko wa ngozi unaojaa divai na mwana-mbuzi.


Wakati ule, mufalme Saulo, kaka za Daudi na waaskari wote wa Israeli walikuwa kwenye bonde la Ela, wanapigana na Wafilistini.


Kwa hiyo, akawatuma vijana kumi, akawaambia: “Mwende kwa Nabali kule Karmeli mumupelekee salamu zangu.


Daudi akawarudilia wale watu mia mbili ambao waliachwa kwenye kijito cha Besori kwa sababu walikuwa wamechoka kwa kumufuata. Wale watu walipomwona Daudi pamoja na wale waliokuwa pamoja naye, wakaenda kumupokea. Daudi alipofika karibu na watu hao, akawasalimia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ