Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 17:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Saulo, alirudi kwenda Betelehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 17:15
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu akamwambia: “Wana wako wote wako hapa?” Yese akajibu: “Hapana, kungali mudogo wa hawa wote, lakini amekwenda kuchunga kondoo.” Samweli akamwambia: “Utume mutu amulete. Sisi hatutaikaa chini, mpaka atakapokuja hapa.”


Kwa muda wa siku makumi ine, asubui na magaribi, yule Mufilistini Goliati alijitokeza, akasimama na kuwazarau waaskari wa Waisraeli.


Daudi akasema: “Mimi mutumishi wako nimezoea kuchunga kondoo wa baba yangu. Kila wakati simba au dubu akikuja na kukamata mwana-kondoo


Tangu siku ile, Saulo akamutwaa Daudi katika nyumba yake, hakumuruhusu kurudi kwenye nyumba ya baba yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ