1 Samweli 16:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Lakini Yawe alimwambia: “Usiangalie sura yake wala urefu wake. Mimi nimemukataa maana siangalii mambo kama vile wanadamu wenye kufa wanavyoangalia. Mwanadamu anaangalia umbo la inje, lakini mimi ninaangalia ndani ya moyo.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |