1 Samweli 16:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Walipofika, naye Samweli alipomwona Eliabu, alijisemesha ndani ya moyo wake: “Hakika, muchaguliwa wa Yawe ndiye huyu anayekuwa mbele ya Yawe!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini Yawe, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kati ya jamaa ya baba yangu kuwa mufalme wa Israeli kwa milele. Alichagua kabila la Yuda kusudi liongozeke; na kutokana na kabila lile, alichagua jamaa ya baba yangu, na kati ya wana wa baba yangu, alipendezwa nami na kuniweka nikuwe mufalme wa Israeli yote.