1 Samweli 16:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kijana mumoja kati ya watumishi akasema: “Nimemwona kijana mumoja wa Yese, wa muji wa Betelehemu. Kijana yule ana ujuzi wa kupiga kinubi. Yule kijana ni shujaa, hodari wa kupigana katika vita, ana hekima katika kusema na mwenye umbo zuri; Yawe yuko pamoja naye.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |