Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 16:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Yese aliwapitisha wana wake wote saba mbele ya Samweli lakini Samweli akamwambia: “Yawe hajamuchagua mutu yeyote kati ya hawa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 16:10
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu akamwambia: “Wana wako wote wako hapa?” Yese akajibu: “Hapana, kungali mudogo wa hawa wote, lakini amekwenda kuchunga kondoo.” Samweli akamwambia: “Utume mutu amulete. Sisi hatutaikaa chini, mpaka atakapokuja hapa.”


Yese akamuleta Shama. Samweli akasema: “Wala huyu hakuchaguliwa na Yawe.”


Daudi alikuwa mutoto wa Yese, wa ukoo wa Efurata kutoka Betelehemu katika inchi ya Yuda. Yese alikuwa na watoto wanane wa kiume. Wakati Saulo alipokuwa mufalme, yeye alikuwa amekwisha kuwa muzee, mutu mwenye umri mukubwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ