1 Samweli 15:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200235 Tangu siku ile, Samweli hakumwona tena Saulo, mpaka siku alipokufa. Hata hivyo Samweli alimulilia Saulo. Naye Yawe alisikitika kwamba alikuwa amemusimika Saulo kuwa mufalme juu ya inchi ya Israeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |