21 Lakini watu walinyanganya vitu: kondoo, ngombe na vitu vyote bora vilivyolaaniwa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, kule Gilgali.”
Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”
Yawe Mungu akamwuliza yule mwanamuke: “Umefanya nini wewe?” Mwanamuke akamujibu: “Nyoka alinidanganya, nami nikakula.”
Marasi hii ingeuzishwa kwa bei kali na kuwagawanyia wamasikini mali ile!”
Saulo akajibu: “Watu waliwaacha wazima kondoo na ngombe bora kabisa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, lakini wengine wote tumewaangamiza.”