15 Saulo akajibu: “Watu waliwaacha wazima kondoo na ngombe bora kabisa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, lakini wengine wote tumewaangamiza.”
Nimeficha makosa yangu kama wengine? Nimekataa kutambua zambi zangu?
Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.
Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: “Mwende mupeleleze habari kamili za mutoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.”
Lakini kwa kutaka kujipatia haki, yeye akamwuliza Yesu: “Mwenzangu ni nani?”
Samweli akamwambia Saulo: “Nyamaza! Nitakuambia jambo Yawe aliloniambia leo usiku.” Saulo akasema: “Uniambie.”
Lakini watu walinyanganya vitu: kondoo, ngombe na vitu vyote bora vilivyolaaniwa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, kule Gilgali.”
Lakini Saulo na watu wake hawakumwua Agagi, kondoo bora kabisa, ngombe wazuri, wana-ngombe, wana-kondoo na chochote kile kilichokuwa kizuri hawakukiangamiza. Lakini vitu vyote vibaya na visivyokuwa vya bei kali waliviangamiza.