1 Samweli 15:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Samweli alisikia kwamba Saulo alikuwa amekwenda kule Karmeli na amesimamisha munara wa ukumbusho wake, na kwamba amekwenda Gilgali. Hivyo, kesho yake, Samweli aliamuka asubui mapema, akaenda kukutana na Saulo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |