9 Kama wakituambia tuwangojee mpaka wafike hapa tunapokuwa, basi, tutasimama hapa hapa wala hatutawaendea.
Kule utasikia wanayosema, nawe utapata nguvu za kuweza kwenda kuwashambulia.” Basi, Gideoni akaenda pamoja na mutumishi wake Pura mpaka kwenye vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.
Lakini wakisema sisi tuwaendee, basi tutawaendea maana hicho kitakuwa ni kitambulisho kwamba Yawe amewatia katika mikono yetu.”
Yonatani akamwambia: “Tutavuka kuwaendea wale watu kusudi wapate kutuona.