Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 14:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

48 Alipigana kwa uhodari, akawashinda Waamaleki. Aliwaokoa Waisraeli kutokana na watu wote waliowashambulia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 14:48
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Upinde wa Yonatani haukurudi nyuma hata kidogo, upanga wa Saulo haukurudi bure hata kidogo. Viliua wengi siku zote, Viliua mashujaa.


Kisha Yawe akamwambia Musa: “Uandike jambo hili katika kitabu, likuwe ukumbusho. Tena umwambie Yoshua kwamba nitawafuta kabisa Waamaleki katika dunia.”


Waamaleki walikuja na kupigana na Waisraeli kule Refidimu.


Kwa hiyo wakati Yawe, Mungu wenu, atakapowapumzisha kutokana na mashambulio ya waadui zenu wote wanaowazunguka katika inchi ambayo amewapa kuwa urizi wenu na kuishi humo, munapaswa kuangamiza Waamaleki wote.


Halafu Yawe akawapa waamuzi ambao waliwaokoa toka katika mikono ya watu walionyanganya mali zao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ