1 Samweli 14:47 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200247 Saulo alipokwisha kuwa mufalme wa Waisraeli, alipigana na waadui zake wote kila upande: Wamoabu, Waamoni, Waedomu, wafalme wa Zoba na Wafilistini. Kila mara alipopigana vita, alishinda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |