Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 14:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Watu wengine wakamwambia Saulo: “Angalia watu wanatenda zambi mbele ya Yawe kwa kula nyama yenye damu.” Saulo akawaambia watu: “Ninyi ni waasi. Muviringishe jiwe kubwa na kulileta hapa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 14:33
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini musikule nyama wenye damu, maana uzima uko katika damu.


Kama mutu yeyote wa jamii ya Israeli au mugeni anayeishi kati yao anakula damu yoyote, mimi nitamukasirikia mutu yule aliyekula damu na kumutenga mbali na watu wake.


Musikule nyama yoyote pamoja na damu. Musifanye ulozi wala kuaguza.


Tena, musikule damu yoyote, ikuwe ya ndege au ya nyama pahali popote munapoishi.


Mutu yeyote akikula damu yoyote, atatengwa na watu wake.


Wewe munafiki, ondosha kwanza nguzo kutoka ndani ya jicho lako, kisha utaweza kuona waziwazi na kuweza kuondoa ile vumbi inayokuwa ndani ya jicho la ndugu yako.


Lakini inafaa tuwaandikie kwa kuwaambia kwamba wajitenge na vitu vilivyochafuliwa kwa kutambikia sanamu, waepuke uasherati na wasikule nyamafu wala damu.


Wewe unayemuhukumu mwingine hauna namna yoyote ya kujitetea, haizuru wewe ni nani. Kwa maana wakati unapohukumu mwingine, unajikatia hukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu unatenda mambo yale yale.


Lakini musikule damu ya nyama hao; mumwange damu hiyo chini kama vile maji.


Lakini muhakikishe kwamba hamukuli damu, maana damu ni uzima. Hivyo basi, musikule uzima pamoja na nyama.


Lakini usikule damu yake; hiyo utaimwanga chini kama vile maji.


Akawaambia: “Muende muwaambie watu wote walete ngombe na kondoo wao hapa, wawachinje na kuwakula hapa. Wasitende zambi mbele ya Yawe, kwa kula nyama yenye damu.” Hivyo, usiku ule wote walipeleka ngombe wao na kuwachinjia pale.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ