Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 14:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Basi walikimbilia vitu walivyoteka, wakatwaa wana-kondoo, ngombe dume na wana-ngombe, wakachinja, wakakula nyama na damu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 14:32
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini musikule nyama wenye damu, maana uzima uko katika damu.


Basi, uwaambie kwamba Bwana wetu Yawe anasema hivi: Ninyi munakula nyama yenye damu, munaziabudu sanamu za miungu yenu na kumwanga damu! Munazani kwamba mutapewa inchi hii ikuwe yenu?


Musikule nyama yoyote pamoja na damu. Musifanye ulozi wala kuaguza.


Ndiyo maana munapaswa kufuata sharti hili siku zote na pahali popote mutakapokaa. Musikule hata kidogo mafuta wala damu.


Lakini inafaa tuwaandikie kwa kuwaambia kwamba wajitenge na vitu vilivyochafuliwa kwa kutambikia sanamu, waepuke uasherati na wasikule nyamafu wala damu.


musikule vyakula vilivyotolewa kwa kutambikia sanamu; musikule damu wala nyamafu; na muepuke uasherati. Mutafanya vema kama mukijitenga na mambo haya. Salamu kwenu.”


Lakini musikule damu ya nyama hao; mumwange damu hiyo chini kama vile maji.


Kwa nini basi, haukuitii sauti ya Yawe? Kwa nini mukakimbilia vitu kwa kuvinyanganya na hivyo kutenda jambo ovu mbele ya Yawe?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ