30 Kama tu waaskari wetu wangeweza kula kidogo kutoka vitu walivyoteka kutoka kwa waadui zao, wengi zaidi kati ya Wafilistini wangaliuawa.”
Kuwa na hekima ni bora kuliko kutegemea silaha, lakini mwenye zambi mumoja anaharibu mazuri mengi.
Yonatani akajibu: “Baba yangu anawasumbua watu. Sasa mimi ninajisikia kuwa na nguvu kwa sababu nimeonja asali hii kidogo.
Siku ile, Waisraeli waliwapiga Wafilistini, tangu Mikimasi mpaka Ayaloni. Wakati huu Waisraeli walikuwa wamechoka kwa sababu ya njaa.