1 Samweli 14:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Siku ile, Waisraeli walisumbuliwa sana maana Saulo alikuwa amewaapiza watu akisema: “Alaaniwe mutu yeyote atakayekula chakula mbele jua kutua, na mbele sijajilipiza waadui zangu kisasi.” Kwa hiyo, siku yote, hakuna mutu aliyeonja chakula chochote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |