1 Samweli 13:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Waisraeli walikuwa wanalipa feza sehemu mbili ya tatu za shekeli kwa kunoa majembe na sururu. Na bei ya kunoa shoka au kuchongoa chuma ilikuwa sehemu moja ya tatu ya shekeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |