Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 13:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kila Mwisraeli alilazimishwa kuwaendea Wafilistini kunoa majembe yake au sururu au shoka au kisu cha kuvuna.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 13:20
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alifanya vile vile katika miji ya Manase, ya Efuraimu, ya Simeoni mpaka ya Nafutali na kwenye mabomoko yaliyokuwa kandokando ya miji hiyo.


Chuma kinanoa chuma, vilevile mutu anafundishwa na mwenzake.


nitanoa upanga wangu unaometemeta, nitanyoosha mukono kutoa hukumu, nitawalipiza kisasi waadui zangu, nitawaazibu wale wanaonichukia.


Wakati huo hakukuwa mufuaji yeyote wa vyuma katika inchi nzima ya Israeli, maana Wafilistini walikusudia kuwazuia Waebrania wasipate kujitengenezea mapanga au mikuki.


Waisraeli walikuwa wanalipa feza sehemu mbili ya tatu za shekeli kwa kunoa majembe na sururu. Na bei ya kunoa shoka au kuchongoa chuma ilikuwa sehemu moja ya tatu ya shekeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ