Wakati huo hakukuwa mufuaji yeyote wa vyuma katika inchi nzima ya Israeli, maana Wafilistini walikusudia kuwazuia Waebrania wasipate kujitengenezea mapanga au mikuki.
Waisraeli walikuwa wanalipa feza sehemu mbili ya tatu za shekeli kwa kunoa majembe na sururu. Na bei ya kunoa shoka au kuchongoa chuma ilikuwa sehemu moja ya tatu ya shekeli.