Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 “Yakobo na jamaa yake walipokwenda Misri, na Wamisri walipowagandamiza, babu zenu walimulilia Yawe. Naye akawatuma Musa na Haruni ambao waliwatoa babu zenu katika inchi ya Misri na kuwafanya mukae katika inchi hii.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 12:8
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliwapa inchi za mataifa na kuwatolea mashamba ya wenyeji,


Siku hiyohiyo Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri kwa makundi.


Haruni na Musa ndio walioambiwa na Yawe: “Mutoe watu wa Israeli kutoka inchi ya Misri, vikundi kwa vikundi.”


Jinsi babu zetu walivyokwenda Misri, ambako tuliishi kwa muda murefu na jinsi Wamisri walivyowatesa babu zetu, wakatutesa na sisi vilevile.


Halafu Yakobo akashuka kwenda Misri, naye akakaa kule pamoja na babu zetu.


Ukuwe imara na hodari kwa sababu wewe utawaongoza watu hawa kuirizi inchi ambayo niliwaahidi kwamba nitawapa wazee wao.


Basi, Yawe aliwapa Waisraeli inchi yote ambayo alikuwa amewaahidi wazee wao. Nao wakairizi na kuishi mule.


Walipofika aliwaambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Niliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri, nikawaokoa ninyi kutoka kwa Wamisri na falme zingine zilizowagandamiza.


Samweli akawaambia: “Yawe ndiye aliyemuchagua Musa na Haruni na kuwaondoa babu zenu katika inchi ya Misri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ