1 Samweli 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 “Yakobo na jamaa yake walipokwenda Misri, na Wamisri walipowagandamiza, babu zenu walimulilia Yawe. Naye akawatuma Musa na Haruni ambao waliwatoa babu zenu katika inchi ya Misri na kuwafanya mukae katika inchi hii. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |