1 Samweli 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Kutoka pale utakwenda kwenye muti wa mwalo wa Tabori, pahali ambapo utakutana na wanaume watatu wakiwa katika njia kwenda kumutolea Mungu sadaka, kule Beteli. Mumoja wao atakuwa akipeleka wana-mbuzi watatu, wa pili atakuwa akipeleka mikate mitatu na wa tatu atakuwa akibeba karabia ya divai. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |