15 Yule baba mudogo wa Saulo akamwambia: “Tafazali, uniambie kile Samweli alichokuambia.”
Kisha, wakubwa walimufikia Yeremia wakamwuliza mambo hayo, naye akawajibu kama vile mufalme alivyomwelekeza. Halafu waliacha kuzungumuza naye kwa sababu hakuna mutu aliyekuwa amesikia mazungumuzo yake na mufalme.
Baba mudogo wa Saulo alipowaona Saulo na mutumishi, akawauliza: “Mulikuwa wapi?” Saulo akajibu: “Tulikwenda kuwatafuta punda, na tulipoona hawapatikani, tulikwenda kumwona Samweli.”
Saulo akajibu: “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini Saulo hakumwelezea kwamba Samweli alimwambia kwamba atakuwa mufalme.